Naomba msaada wa kiushauri; hivi undergraduate first year direct costs ninazotakiwa kulipa kwa college of education ni Tshs 282,500/= ama Tshs 244,000/=!??? Nimekanganyikiwa nifanye lipi baada ya kuona notes kwenye website ya chuo.
Naomba msaada wa kiushauri; hivi undergraduate first year direct costs ninazotakiwa kulipa kwa college of education ni Tshs 282,500/= ama Tshs 244,000/=!??? Nimekanganyikiwa nifanye lipi baada ya kuona notes kwenye website ya chuo.
huwezi kusajiliwa mpaka ulipe kiac kidogo,, mfano kama heslb wamekupa 92% kwa ajili ya ada na 8% iliyobaki unaweza lipa yote au 4% kwa kila semister,,,,