Sawa kutubu watatubu ila na wewe ukumbuke kutubu, maana ni mwanadam mwenye matamanio na tamaa kama wanadam wengine tuu, weee sio MUNGU.Yesu anakaribia sana kurudi.
Wafiraji tubuni
Makahaba tubuni
Wenye pesa za ndagu na mtubu
Mashoga mtubu
Wasagaji na mtubu
Waibaji na mtubu
Mnapenda ushirikina na mtubu
Mnapenda Rushwa na mtubu
Mnaosingizia wengine na mtubu
Wenye nyumba ndogo na mtubu
Wadangaji na mtubu na Kila afanyaye uovu na atubu.
Hakuna mbingu ya wenye dhambi, jehanamu inatisha. Moto wake haitumiki, kuna funza wa woto, hasira ya Bwana inatisha, tumrudie Mungu wetu.
Jiwe gizani [emoji1787]"Idiot"
Una umri gani...Unajua maana ya kurudi? Kwani aliondoka akiwa Tanzania?