Transit export minerals are stopped from shipment

This article or notice lacks authenticity because it does not have detailed address of the sender and bears no signature. Incorporate these omissions to make it official
 
Inaelekea serikali hi haina imani kabisa na vyombo vyake yenyewe; taarifa za grade wa huo mchanga TRA waliotoa taarifa hiyo wanazo, TMAA ambao wapo kwenye migodi yote naamu hadi kwenye machimbo ya kokoto na mchanga tunaojengea nyumba pia wanazo records but yaelekea serikali haiwaamini hawa watu; mimi nilikua ninayo pendekezo; hivi ni kwanini wasichuliwe Barrick (Acacia) hadi hapo mgodini and then wahusika wa serikali kama wizara ya fedha na nishati na madini wote kwa pamoja wachukue sample ya huo mchanga kwenye kila container and then waruhusu mchanga huo kuendelea na safari halafu hizo samples zifanyiwe analysis kisha Kodi ikadiriwe kulingana na majibu ya hizo sample; lengo la wazo hili ni kufanya biashara za watu ziendelee kuliko kuzisimamisha kwa uzembe tulioufanya sisi wenyewe. Wafanyabiashara wa local tumewachezea sana (refer to viloba Saga) but hawa wenzetu wa nje ya nchi lile neno la time is money wanalizingatia hasa, tofauti na sisi. Hasara utakayo mtengenezea ukweli lazima utailipa tu, wenye viloba huku kwetu wamejipiga risasi but Mzungu hatajipiga risasi because of us, TUTALIPA tu.
 
Hatari kubwa ni fidia watayodai ikija kubainika kwamba wanachofanya ni kwa mujibu wa mktaba. Binafsi nafikiri review ingefanyika huku each part kwenye mkataba wakitekeleza wajibu wao....hiz haraka bila shaka zinamashaka makubwa sana.
Sawia kabisa.
Bila kuiona na kuifanyia marekebisho mikataba tata ya madini, huko mbeleni lazima tuje tulipe fidia za kuzuia haya makontena bandarini ilhali yapo kihalali kabisa.
 
Kuna fidia hv ww mpk leo hujawahi ingia kwe mkataba wwte na ukataka kuuvunja? Swala tushateleza kipindi icho bt kwa sasa anatakiwa weka kwe katiba tu hakuna kusaini mkataba wwte bila kupitiwa na bunge hata km ni mkataba basic
 
Kwa hili agizo tunapunguza watumiaji wa bandari zetu. Halafu baadae mnawafuata kuwabembeleza watumie bandari zetu!!! Hivi hawajui kwamba watumiaji bandari hawataki usumbufu usio na maana wala tija?
 
magufuli kiukweli anakosea kwanza arekebishe mikataba nd aanze hizi habar wawekezaji wataanza kusepa siku si nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…