Transfer jamani..

Erickson0708

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
207
Reaction score
34
Mfano nimepata nafas katik chuo ambacho nakihitaji kunahaja ya kusubir mpaka transfer window ifunguliwe? Au naweza kwenda TCU na kukamilisha tu.
 
Dah Wangu Hawa Jamaa Ni Wasee Sana..Transfer Wanadai Ztafanyika Online Tu Mkuu So Till Hyo Transfer Link Iwe Open..Hata Ukienda Huko Chuo Utaambiwa Hvo Tu
 
Transfer za barua mwaka huu haziruhusiwi kabisa. So ni kusubiria transfer window ifunguliwe online ili uombe, na as far as i know, mpaka transfer kufunguliwa..watu watakuwa wamesharipoti katika vyuo vyao husika.
 
Dahhhh mm ndo nashangaa huu utaratibu wao yan mbovu kinyama
 
Dah Wangu Hawa Jamaa Ni Wasee Sana..Transfer Wanadai Ztafanyika Online Tu Mkuu So Till Hyo Transfer Link Iwe Open..Hata Ukienda Huko Chuo Utaambiwa Hvo Tu

Hata kama ushapata nafasi kweny chuo husika wanazingua?
 
mnalilia transfer wakati 5th round bado....
 
wale wa ifm naomba mnijuze hapa...nimechaguliwa hapo Bsc in social protection je registration inaanza lini?
 
Dah Wangu Hawa Jamaa Ni Wasee Sana..Transfer Wanadai Ztafanyika Online Tu Mkuu So Till Hyo Transfer Link Iwe Open..Hata Ukienda Huko Chuo Utaambiwa Hvo Tu

kama umepata nafas chuo hucka hamna kusubir transfer online..cha msingi ni kuchukua admission letter chuo ulchochaguliwa na admission letter chuo unachohamia unaenda navyo tcu ili kufanya confirmation,tcu wanatoa tranfer online ili kuepuka cost za wewe kufatilia nafasi chuo unachotaka kuhamia,make itakuwa gharama xana kama wewe mfano umechaguliwa SAUT unahimia UDSM xo itabdi uende saut kwnz,wakupe admssion letter haf uende udsm ukaangalia nafas badae tena uende tcu..xo online ipo ili kuepuka cost 2 bax,hata mwk jana transfer zlkuwa online co mwaka huu 2!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…