Transcend HDD Mpya iko sokoni

herikipaji

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2016
Posts
1,199
Reaction score
1,377
Wadau Transcend External Hard Disk Drive StoreJet 500 GB MPYA nauza 130000 TZS, biashara nitafute kwa Private Message.
 
Wadau Transcend Hard Disk Drive StoreJet 500 GB MPYA nauza 130000 TZS, biashara nitafute kwa Private Message.

Watu wanataka teknolojia ya SSD sasa. Preferably 1 GB.

Haya ma disk ya kuzunguka yashapitwa wakati.Yanatumia muda mrefu sana kuandika na kusoma data.

Kama unaagiza angalia kama utapata SSD na soko la nyumbani kwa wanaojua haya mambo.

Nimeweka SSD kwenye laptop inafanya kazi bomba sana.
 

SSD??? ndo nini na ina matumizi gn mkuu, tuelimishe
 

Ni kweli SSD ni nzuri zaidi lakini kwa soko la nyumbani ni ngumu kuuzika ni wachache watamudu gharama zake ndugu. Unless itolewe special order.
 
SSD??? ndo nini na ina matumizi gn mkuu, tuelimishe

Hizi disks za HDD (Hard Disk Drive) zinazunguka, hivyo zinafanya kuandika na kusoma data kuchukue muda mrefu kidogo ukizilinganisha na teknolojia mpya ya SSD (Solid State Drive) ambazo hazizunguki.

Kwa matumizi ya kawaida kama unaona HDD inakufaa, poa. Lakini kwa mtu anayetaka fast speeds (kwa mfano mimi on a good day naweza ku transfer zaidi ya terabyte mbili kati ya NAS drives na computers zangu zenye terabytes zaidi ya mia) SSD is the way to go.

Kwa habari Zaidi pitia Wiki.

Solid-state drive - Wikipedia, the free encyclopedia
 
mhh mbona bei kubwa. 1TB ni bei gn sasa
1TB me nauza tsg.185,000/= brand new sealed in box.....pia natoa ofa nakuwekea movies 500,series60,mand 60albums pale utakaponunua kwa tsh.195,000/= badala ya tsh.185,000/= call 0689341445
 
1TB me nauza tsg.185,000/= brand new sealed in box.....pia natoa ofa nakuwekea movies 500,series60,mand 60albums pale utakaponunua kwa tsh.195,000/= badala ya tsh.185,000/= call 0689341445

Anzisha uzi mkuu we ulikuwa wapi kutangaza vyako mpaka uone mwingine nawe unakuja na bandiko lako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…