Mkuu Austin20, haya matumizi ya MP, sorry, PM inachosha sana. Mantiki ya Uzi wako ni muhimu sana kwa mustakabali wa Nchi hii na kwa Wananchi wenyewe (tafadhali usiniulize Nchi gani kwa kuwa binafsi nasubiri tamko la "Jamhuri ya Tanganyika"). Ungeweka Taarifa zaidi kuhusu suala la hizo Tractors zako hapa hadharani ingesaidia wengi badala ya wachache tu kuku-PM!
Ni ushauri tu, ruksa kupuuza!