Huawezi kutrace computer kwa kutumia mac address, mac address haitoki nje ya router so haiko visible nje ya network uliyoconnect.
Wewe uliyeibiwa si nilishakwambia nenda site ya icloud ufanye trace? Badala yakle umeanzisha thread nyingine.
Saa nyingine ni kazi maana saivi hatuangaiki kufungua I cloud kwa apple wireless device ni s/n tu kama umepigwa siku za uson unaweza pata ila kama ni muda sahau labda kama unatumia Mac address kutafuta
Huawezi kutrace computer kwa kutumia mac address, mac address haitoki nje ya router so haiko visible nje ya network uliyoconnect.
Wewe uliyeibiwa si nilishakwambia nenda site ya icloud ufanye trace? Badala yakle umeanzisha thread nyingine.
Hello Wajameni,
Kuna kibaka kaniibia Macbook yangu,kama Kuna mtu anaweza kuitrace ikapatikana,basi zawadi nono ipo,watu wa IT wachangamkie ajira hii.Come inbox