BabaC
Member
- May 21, 2013
- 94
- 60
Jamani nimepigiwa simu na watu wa TRA kuwa ninatakiwa kwenye interview ya Assistant Information Systems Administrator interview tarehe 04/11/2013 na venue ni University of Dar es salaam main compus lakini kwa bahati mbaya sikuweza kupata muda ambao interview itafanyika maana nimepigiwa simu nikiwa na boss wangu mnoko kwa hiyo kuhoji ilikuwa issue plus wameahidi kunitumia kila kitu kwenye mail leo lakini hawajanitumia,tafadhari kama kuna mtu ambae amepigiwa simu anitaarifu ama kama kuna mtu mwenye email ya maelekezo anisaidie pia nimejaribu kupiga simu iliyonipigia haipokelewi.Usiogope kunisadia maana kama kazi ni yako Mungu amekuandikia hata kama waje watahiniwa 1000000 ni yako tu