M MAJANGA NIACHE Member Joined Feb 21, 2012 Posts 95 Reaction score 6 Feb 24, 2014 #1 Habari wapendwa? Hivi zile post za TPDC vipi? Kinaendelea nini? Tujuzane jamani 🙂
Prince Akeem JF-Expert Member Joined May 26, 2013 Posts 886 Reaction score 382 Feb 25, 2014 #3 watu huwa hawapendi kutukana lakini kichwa cha habari umeandika kike sana. pu..vu sana
korino JF-Expert Member Joined Dec 6, 2011 Posts 1,014 Reaction score 684 Feb 25, 2014 #4 Prince Akeem said: watu huwa hawapendi kutukana lakini kichwa cha habari umeandika kike sana. pu..vu sana Click to expand... Yaan hata me nlijua kuna nafas nyingine zmetoka
Prince Akeem said: watu huwa hawapendi kutukana lakini kichwa cha habari umeandika kike sana. pu..vu sana Click to expand... Yaan hata me nlijua kuna nafas nyingine zmetoka
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,198 Reaction score 88,965 Feb 25, 2014 #5 korino said: Yaan hata me nlijua kuna nafas nyingine zmetoka Click to expand... sasa kasi nilokuja nayo mimi ni acha aisee. nikajua either wameshortlist au wameongeza vacancies.
korino said: Yaan hata me nlijua kuna nafas nyingine zmetoka Click to expand... sasa kasi nilokuja nayo mimi ni acha aisee. nikajua either wameshortlist au wameongeza vacancies.
N Ndege Tausi JF-Expert Member Joined Nov 12, 2013 Posts 992 Reaction score 476 Feb 25, 2014 #6 rekebisha jina la topic, mi nilidhani ni nafasi mpya
Slim Senior Member Joined Nov 12, 2008 Posts 155 Reaction score 198 Feb 25, 2014 #7 Kazi inaendelea kuchambua applications I think mwisho wa mwezi huu au mwanzoni mwa march mtaanza kuitwa kwa usaili. HR
Kazi inaendelea kuchambua applications I think mwisho wa mwezi huu au mwanzoni mwa march mtaanza kuitwa kwa usaili. HR
I inspector gobo Member Joined Dec 2, 2012 Posts 39 Reaction score 7 Feb 25, 2014 #8 Hayo ni ya uhakika?
Punda wa Dobi JF-Expert Member Joined Jul 4, 2013 Posts 591 Reaction score 238 Feb 25, 2014 #9 Slim said: Kazi inaendelea kuchambua applications I think mwisho wa mwezi huu au mwanzoni mwa march mtaanza kuitwa kwa usaili. HR Click to expand... kwa mabehewa ya application yaliyopo March karibu sana
Slim said: Kazi inaendelea kuchambua applications I think mwisho wa mwezi huu au mwanzoni mwa march mtaanza kuitwa kwa usaili. HR Click to expand... kwa mabehewa ya application yaliyopo March karibu sana
C chief mtwe Member Joined Dec 10, 2013 Posts 95 Reaction score 11 Feb 25, 2014 #10 Jifunze kuandika title zinazolandana na kilichomo ndani.....
wende JF-Expert Member Joined Sep 6, 2009 Posts 714 Reaction score 67 Feb 25, 2014 #11 S.t.u.p.i.d heading!
L lelo1 JF-Expert Member Joined Feb 23, 2014 Posts 583 Reaction score 481 Feb 26, 2014 #12 Heading utumbo mtupu.
M mawenge JF-Expert Member Joined Nov 26, 2012 Posts 286 Reaction score 71 Feb 26, 2014 #13 wende said: S.t.u.p.i.d heading! Click to expand... hawajambo gomzi.
Zogwale JF-Expert Member Joined Jul 10, 2008 Posts 15,295 Reaction score 10,957 Feb 26, 2014 #14 Yaani upeleke maombi hata wiki bado unataka kujua majibu, barua ndiyo kwanza ziko godown zinahesabiwa ili watu waanze shortlisting!!! Na hakika ni lazima ni mamilioni ya maombi so na vimemo juu!!! Halafu kigezo upper and first class!!!
Yaani upeleke maombi hata wiki bado unataka kujua majibu, barua ndiyo kwanza ziko godown zinahesabiwa ili watu waanze shortlisting!!! Na hakika ni lazima ni mamilioni ya maombi so na vimemo juu!!! Halafu kigezo upper and first class!!!