Hahaha,we acha viroboa
Umenichekesha kweli aisee,maana kuna mshkaji wangu alikuwa na gari,anakuambia nikificha condoms humu hata utafute vipi huioni,aisee na kweli,na kuna wakati aliiuza na condoms zake,nikasema haya,mafundi garage wataziona siku ikipata tatizo kubwa.
byzeway,gari nzuri