Toa details za kutosha ya mwaka gani,km ngapi imetembea,imeingia lini Tz,rangi gani,kwanini haitembei na bei gani yake,tunaweza tukajitosa kwenye kinyang'anyilo.
Mkuu Kwako Hakuna cha Ajabu. Mkuu maelezo yake yalikuwa hayatoshi, angefafanua ina matatizo gani? Nilitaka aje aseme yeye lakini sio wewe kwa sababu hata wewe hujui kwanini halitembei.
Mkuu Kwako Hakuna cha Ajabu. Mkuu maelezo yake yalikuwa hayatoshi, angefafanua ina matatizo gani? Nilitaka aje aseme yeye lakini sio wewe kwa sababu hata wewe hujui kwanini halitembei.