Ni gari nzuri sana japo sio ngumu kama zile za zamani, ila ukitunza body ni gari nzuri sana ina injini ya 3zr ambayo unaipata hata kwenye toyota wish kuanzia 2007 hadi 2013 japo sio zote, ni economy sana kulinganisha na zile noah za nyuma yake pia ni CVT gearbox, kama unaitaka usiiache utakuja kunishukuru baadae
Niliwahi panda Noah (2012) Zanzibar, hiyo yenye new shape yenye injini ya 3ZR ambayo ili replace injini ya 1AZ iliyosababisha hizi gari na Voxy kuchukiwa sana. Mmiliki wa ile gari aliisifia sana hasa kwenye fuel consumption na engine performance.
Niliwahi panda Noah (2012) Zanzibar, hiyo yenye new shape yenye injini ya 3ZR ambayo ili replace injini ya 1AZ iliyosababisha hizi gari na Voxy kuchukiwa sana. Mmiliki wa ile gari aliisifia sana hasa kwenye fuel consumption na engine performance.
Kwenye Rav 4 kulifungwa injini ya 1AZ-FE, ila Voxy iliwekewa 1AZ-FSE ambayo ni 'Gasoline Direct Injection (GDI). Sasa hii yenye GDI inayohitaji mafuta masafi sana ikawa na changamoto nyingi. Uchafu kdg tu, misfire za kutosha.