Toyota noah inauzwa

Toyota noah inauzwa

dip pub

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2014
Posts
389
Reaction score
74
manufacture year 2001 engine capacity 1990 milage 111998 km engine 3S bei ni milioni 12.5 mzigo mpya toka japani mawasiliano #0714358610
 

Attachments

  • IMG-20141104-WA0019.jpg
    IMG-20141104-WA0019.jpg
    114.5 KB · Views: 555
  • IMG-20141104-WA0022.jpg
    IMG-20141104-WA0022.jpg
    117.9 KB · Views: 527
  • IMG-20141104-WA0025.jpg
    IMG-20141104-WA0025.jpg
    115.3 KB · Views: 509
  • IMG-20141104-WA0024.jpg
    IMG-20141104-WA0024.jpg
    147 KB · Views: 462
  • IMG-20141104-WA0021.jpg
    IMG-20141104-WA0021.jpg
    115.4 KB · Views: 455
  • IMG-20141104-WA0020.jpg
    IMG-20141104-WA0020.jpg
    137 KB · Views: 464
Ipo Bomba ile mbaya.
Mwenye kujua magari,kama sikosei Toleo hili ndio zile Noah ambazo hazili mafuta kama haya ma Toys ya Vox na matoleo baada ya 2000
 
mimi nina toyota gaia tufanye exchange ntakuongezea hela 0713774746
 
Wakazi wa Mwanza,hembu niambieni hii gari kwa mkoa huyo inaweza kufanya biashara kivipi.

Dipub,najua tolei hili sio Four wheel drive,hembu dhibitisha.
maana kuna matolea baadhi kama sikosei ni baadhi kuanzia 2000 yana four wheel ambapo hula mafuta sana.
 
Mwanza noah hubeba abiria kwa mwendo mfupi mfano. Kutoka sengerema mpaka kivuko cha busisi km 27 hv nauli 2000
 
Mwanza noah hubeba abiria kwa mwendo mfupi mfano. Kutoka sengerema mpaka kivuko cha busisi km 27 hv nauli 2000
Asante Malimba,ubarikiwe.
Huwa wanabalisha viti au ndio hivyo,maana naona mwisho watu 8.
Na pia kama unajua hesabu ya kulaza kwa siku kwa tajiri pia niambie.
Ili hapo mbeleni niwaletee madogo zangu wapo huko
 
Wanakaa zaidi ya kumi ila kistaarabu kumi wanakaa vizur mbele wa2 na viti vya nyuma 8 kwa maana ya kila mstar 4 ila kwenye shida ya usafir viti vya nyuma upande wa kuegemea unalazwa na wengine wanakaa wakiangalia nyuma! Pia mbele wanaweza kukaa abilia wa3 kukamilisha 15 inshawah kufanya hyo kaz kk.
 
Wanakaa zaidi ya kumi ila kistaarabu kumi wanakaa vizur mbele wa2 na viti vya nyuma 8 kwa maana ya kila mstar 4 ila kwenye shida ya usafir viti vya nyuma upande wa kuegemea unalazwa na wengine wanakaa wakiangalia nyuma! Pia mbele wanaweza kukaa abilia wa3 kukamilisha 15 inshawah kufanya hyo kaz kk.
Duh,aiseehapo traffic hakuna.
Safi sana kwa uchambuzi wako.
Hembu nipe hesabu ya tajiri kwa siku kwa sasa.
 
Trafik anapewa dasi (5000) kila baada ya siku 2 au tatu kutegemea na hali wkt huo hesabu ya boss inategemea na makubaliano wastan 40000 kwa siku pengine inaweza kupanda au kupungua kulingana na hali ya biashara wkt wa mvua abiria huwa wa shida lkn mvua zikiisha mambo safi.
 
Trafik anapewa dasi (5000) kila baada ya siku 2 au tatu kutegemea na hali wkt huo hesabu ya boss inategemea na makubaliano wastan 40000 kwa siku pengine inaweza kupanda au kupungua kulingana na hali ya biashara wkt wa mvua abiria huwa wa shida lkn mvua zikiisha mambo safi.
Aisee kumbe Biashara nzuri,ngoja nijipange.
Sasa kwanini abiria wapende kutumia NOAH na wasitumie Hiace.
Hembu nipe uelewa wako.Au ndio mambo ya kula uroda kwenye Noah
 
Kuna route zenye pesa kuliko hiyo mf. Sengerema- kamanga km 35 rough road nauli 3000 na hiace panki inabeba hadi abiria 22 pia kuna sengerema-geita km 56 nauli 3000 lami hice zinakimbilia huko 7bu ya pandisha shusha af rough road kuna hela sana sema noah hazihimili pia noah inachukua muda kidogo kujaa abiria 7 inaweza kuondoka wengine ikaokota njian
 
Kuna route zenye pesa kuliko hiyo mf. Sengerema- kamanga km 35 rough road nauli 3000 na hiace panki inabeba hadi abiria 22 pia kuna sengerema-geita km 56 nauli 3000 lami hice zinakimbilia huko 7bu ya pandisha shusha af rough road kuna hela sana sema noah hazihimili pia noah inachukua muda kidogo kujaa abiria 7 inaweza kuondoka wengine ikaokota njian
Duh,kweli mkuu nakubali uelewa wako.
Namie nilikuwa nahisi hivyo kwamba Hiace inachelewa kujaa ndio maana watu wanakimbilia Noah ili wawahi kuondoka.
Ni kama Dar kuna route ukipeleka Coaster inakula kwako,maana watu wanafuata Dungi ijae then wasepe zao.
 
Kwahiyo Routes zipi ambazo ni salama kwa gari pia.
Maana kuna maeneo roughness yake itakufanya utupe gari ndani ya miezi tu.
Sasa huko inabidi upeleka gari ambayo sio mpya,na mie nataka niingize mpya
 
Kuna route kama sengerema-busisi na sengerema-geita hiz ni lami mwamwi
 
Hapa pia naomba waje wataalam wa kuzichambua hizi Noah kwa faida ya sie watumiaji.
Maana kuna
Liteace
Townace
Tourer
Nk

Zipi zenye kustahimili shurba ya kazi ngum na rafiki wa mafuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom