Halinywi mafuta, linakunywa mtori, lakini linapenda zaidi mchemsho wa kuku wa chenyeji.1: Linakunywa mafuta kilometa kwa lita moja?
2; Tairi mpya ni bei gani dukani na
3. Siku ukitaka kufanya matengenezo (service) inakubidi uwe na kama laki ngapi?
Lina kosa gani masikini wa Mungu mpaka limepata kifungo.1997 , Engine diesel V 6 manual transmission , ipo katika hari nzuri sana number T 305 ADU imetumika kidogo ipo Dar Es Salaam imefungiwa ndani tabata chang'ombe tuwasiliane 0657145555
View attachment 244164
Kitu Amazon hicho kama sikosei.
Mkuu wape bei,maana hayo majibu unayopata balaa tupu
hivi haya maswali unaulilza ukiwa umevaa nguo au ?1: Linakunywa mafuta kilometa kwa lita moja?
2; Tairi mpya ni bei gani dukani na
3. Siku ukitaka kufanya matengenezo (service) inakubidi uwe na kama laki ngapi?
1997 , Engine diesel V 6 manual transmission , ipo katika hari nzuri sana number T 305 ADU imetumika kidogo ipo Dar Es Salaam imefungiwa ndani tabata chang'ombe tuwasiliane 0657145555
View attachment 244164