Toyota IST inahitajika

Toyota IST inahitajika

reginahope

Senior Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
163
Reaction score
30
Habari wapendwa kama heading inavyojieleza nahitaji toyota ist iliyo katika hali nzuri ningependelea haswa namba c au d budget yangu
ni 7.5m. kama utahitaji tufanye biashara unaweza kuniPM

Mungu awabariki wote
 
Just check with me on this no.+255755927881 if your seriously only.
 
habari wapendwa..km heading inavyojieleza nahitaji toyota ist iliyo katika hali nzuri ningependelea haswa namba c au d budget yangu
ni 7.5m. km utahitaji tufanye biashara unaweza kunipm..Mungu awabariki wote

Mkuu salaam, Ninayo yangu excellent cconditions Nitumie namba yako nikufowardie picha. Bei ipo juu kidogo maana ni mpya namba cu...
 
Habari wapendwa kama heading inavyojieleza nahitaji toyota ist iliyo katika hali nzuri ningependelea haswa namba c au d budget yangu
ni 7.5m. kama utahitaji tufanye biashara unaweza kuniPM

Mungu awabariki wote

ulipata IST? ipo moja nyeusi namba c imenyoka safi inataka 8M cash.
 
Hiyo hapo bei maelewano
 

Attachments

  • 1424679285975.jpg
    1424679285975.jpg
    81.4 KB · Views: 232
vipi, unataka kunipa kazi mkuu? we lete tu, hata kama una meli ya mafuta unauza sema tukutaftie wadau, mimi sitii hata senti juu, utanilipa asilimia tutayoelewana kama huduma ya kukuletea mteja.


Duh, hadi meli za mafuta kabisa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom