Nadhani ni mtizamo tu. Biashara haigombi. lakini bei inaashiria kwamba mtu anayetaka aina hiyo ya gari aagize mija kwamoja na anaweza kulipa less than that maana haijatengenezwa mwaka jana hiyo. Hujafikiria hata kuweka range? Nimeiona kama hiyo show room Fulani na wameniambia naweza kulipia hadi 8M pamoja na kulipia matakataka zote yanayochomekewa kwa sababu tu ni zaidi ya miaka 8 tangu itengenezwe. Ila ni gari nzuri maana naona kama ni fashion ya siku hizi kama kile kipindi cha RAV 4 kilipoingia nchini.