Mpwa hio ni engine gani? Vibali vikoje? TLB yake inasemaje? Odometer je? Maana ya kwangu ni 1hz, vibali vyote viko valid, TLB ya Makumbusho Mabibo na inasome 300,000km nauza 12m lakini wateja hawapatikani, nimeamua mtu akija hata na 11M namuachia tu sasa. Pengine hapa ndio mahali sahihi, asante.
Aisee Elli umenichekesha kweli mkuu.
Maana umechomekea halafu na wewe umesema ugonjwa wako.
Kuna mdau juu kauliza kwanini mnaziuza,maana bei imeshuka ghafla ya gari hizi.Au ndio magari yaendayo kasi hayo?
Maaana sasahivi inafikia kwamba mtu akitaka Coaster anatoka Zanzibar anakuja kununua Dar,aisee kazi kweli.
Ngoja nikirudi Zanzibar nijipange nianze kuzisafirisha kutoka Dar na kuzifanyia soap soap nile dili za daladala.
Elli na wewe weka Picha