A achiwalila Member Joined Dec 2, 2008 Posts 29 Reaction score 0 Jul 28, 2014 #1 Nauza Toyota Cami Haraka. Sh. 4.5 M. Contact 0755827080 nipo DSM.
Osaba JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 1,943 Reaction score 808 Jul 28, 2014 #2 Picha kwanza haraka ya nn? Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app
A achiwalila Member Joined Dec 2, 2008 Posts 29 Reaction score 0 Jul 28, 2014 Thread starter #3 Picha hiyo mkuu
maringeni JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 3,197 Reaction score 3,901 Jul 28, 2014 #4 kwa tatu ningekuja kukagua kama ok nikukash
BABU KIDUDE JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 1,587 Reaction score 918 Jul 28, 2014 #5 huyu jamaa bana muhuni sana aseee ahhh ahhh ahhh weka watu waone plate number unaficha nini hama ya uwizi?
huyu jamaa bana muhuni sana aseee ahhh ahhh ahhh weka watu waone plate number unaficha nini hama ya uwizi?
A achiwalila Member Joined Dec 2, 2008 Posts 29 Reaction score 0 Jul 28, 2014 Thread starter #6 Powa usijali nilikuwa sijaiandaa, Ni T 288BAX, ni ya mwaka 2000, na iliingia DSM JULY 2009. IPO katika hali mzuri saana.
Powa usijali nilikuwa sijaiandaa, Ni T 288BAX, ni ya mwaka 2000, na iliingia DSM JULY 2009. IPO katika hali mzuri saana.
NI MTAZAMO TU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 1,203 Reaction score 1,001 Jul 28, 2014 #7 Maongezi yapo mkuu? Ili kama inawezekana nije leo hii na 3.5
A achiwalila Member Joined Dec 2, 2008 Posts 29 Reaction score 0 Jul 28, 2014 Thread starter #8 NI MTAZAMO TU said: Maongezi yapo mkuu? Ili kama inawezekana nije leo hii na 3.5 Click to expand... Kwa desturi, maongezi yanafanywa usokwauso mbele ya chombo. Hakuna lisilowezekana chini ya jua mkuu, ukiiona utatamani kuniongezea baada ya kukupunguzia. kwa sasa nipo Posta club. Kesho Gongolamboto. njoo tuzungumze.
NI MTAZAMO TU said: Maongezi yapo mkuu? Ili kama inawezekana nije leo hii na 3.5 Click to expand... Kwa desturi, maongezi yanafanywa usokwauso mbele ya chombo. Hakuna lisilowezekana chini ya jua mkuu, ukiiona utatamani kuniongezea baada ya kukupunguzia. kwa sasa nipo Posta club. Kesho Gongolamboto. njoo tuzungumze.
A achiwalila Member Joined Dec 2, 2008 Posts 29 Reaction score 0 Aug 4, 2014 Thread starter #9 Imeshauzwa, Ahsanteni wana jamii.:A S wink: