Toyota cami

Picha kwanza haraka ya nn?


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app
 
huyu jamaa bana muhuni sana aseee ahhh ahhh ahhh weka watu waone plate number unaficha nini hama ya uwizi?
 
Powa usijali nilikuwa sijaiandaa,

Ni T 288BAX, ni ya mwaka 2000, na iliingia DSM JULY 2009. IPO katika hali mzuri saana.
 
Maongezi yapo mkuu? Ili kama inawezekana nije leo hii na 3.5
 
Maongezi yapo mkuu? Ili kama inawezekana nije leo hii na 3.5

Kwa desturi, maongezi yanafanywa usokwauso mbele ya chombo. Hakuna lisilowezekana chini ya jua mkuu, ukiiona utatamani kuniongezea baada ya kukupunguzia. kwa sasa nipo Posta club. Kesho Gongolamboto. njoo tuzungumze.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…