Afrika wachumi ni wachache sana.
Wengi ni wezi( mfano Wachgg) ,matapeli( Mfano Whya) , Wachawi(Wknga), Wala Rushwa (Wskma),Wanyanganyi(Wkrya),Mafisadi(Wakikuyu ), Walaghai(Wnykysa) na Waongo (Wanasiasa wote)
Ubahili ni jambo linalotokana na mazingira na mitizamo ya watu.
Mtu anayependa kuomba omba anawaza kusaidiwa au kupewa kila anachokihitaji akinyimwa anaona kuwa kuna ubahili. Mtu anayejitegemea bila kuomba au kutegemea misaada hawezi kuona ubahili wa MTU. Kuna mtu akifika baa yeye ni mizinga tu. Akiona mtu aliyetegemea amnunulie bia halafu akakosa anaona kuwa ni ubahili kumbe yeye ndiye tatizo. Wenzetu wazungu hawana mambo ya kutoa pesa tuu bila kuwa napangilio au bajeti (ni bahili lakini wana mipango yao).Mtu mwenye kipato halali lazima wakati mwingine anaonekana kama bahili kwenye matumizi yasiyo Rasmi.
Ndio maana Mabilionea wote ni wanyonyaji .Wanawanyonya wafanyakazi wao kwa kuwalipa mishahara kidogo sana (Ni bahili wa kutoa pesa japo wana akiba kubwa)
Ubahili ni hatua ya mwanzo ya kukuza uchumi.
Ukiona mfanyabiashara aliyeanza chini sio bahili basi huyo ni mwizi.
Vina wengi wa sasa sio bahili kwa sababu wamerithi Mali toka kwa wazazi wao ambao walikua bahili wakati wanatafuta Mali.
Unakuta kijana anarithishwa Jengo LA Hoteli au Club iliyojengwa miaka ya 70 na babu yake aliyekua anashinda kwa kula kipande cha mkate lakini leo anashinda baa na kula kiti moto na Kvant na kujisifu kuwa yeye ni mchumi sio bahili.
Wazungu karne zilizopita hawakuja Afrika kutalii Bali kutafuta Mali ,walikua wanaishi maisha ya kibahili.
Mfano Kwa hali ya Kawaida Mtu mwenye mshahara wa laki tano kwa mwezi na hana sehemu ya kupiga dili au kupata hela ya ziada au Rushwa au Vinginevyo hawezi kuepuka ubahili . Hawezi kula supu ya Kuku kila siku na kununua kiatu cha 150,000/- na Shati na suruali 45,000/- .
Mtu huyo huyo Akikutana na mwenzake mwenye kitengo cha manunuzi na madili mengineyo atajisifu kuwa yeye sio bahili.
Kifupi tu ni kwamba kuwa Mchumi au Bahili inategemea na aina ya Biashara,mtaji, Chanzo cha Biashara (au mtaji) au Mazingira ya Kipato au Kazi , Uwezo wa kifamilia n.k.
Sent using
Jamii Forums mobile app