Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,110
- 2,787
Si ukamuulize Putin mwenyewe.Putin anaimanisha nini anvyosema sio vita nchini Ukraine?
Nonsense yaani MTU kaanza kujua kashkash za dunia kabla ya afrika kuwepo unasema hawajui diplomasia?Urusi hana diplomasia nzuri.
-operation anachagua maeneo muhimi ya kupigaPutin anaimanisha nini anvyosema sio vita nchini Ukraine?
Amejichimbia kwenye Handaki kama Saddam HusseinSi ukamuulize Putin mwenyewe.
USA aliwahi onyesha wapi hiyo diplomasia?Urusi hana diplomasia nzuri.
Mbona wanashambulia ukumbi za sinema na shuleOperation......not full armed.... civilians not harmed
We upo huru lakini unamaisha magumu ona Pres..Putin anaendesha Ops Nchi jirani afu anamwagilia moyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amejichimbia kwenye Handaki kama Saddam Hussein
Safi mkuu naona upo tayari hata kumzalia hata Maapacha labda bahati mbaya ukiwa tasaWe upo huru lakini unamaisha magumu ona Pres..Putin anaendesha Ops Nchi jirani afu anamwagilia moyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2340258
Sasa mbona Russia haya yote hafanyi na bado anaiita operation?! Halafu operation gani inadumu miezi saba?!-operation anachagua maeneo muhimi ya kupiga
-operation anapambana na wanajeshi,haui RAIA
-operation anawataarifu RAIA wajiandae kuondoka sehemu husika-lengo kuangamiza jeshi husika.
Hayo ni machache kwa lugha ya ki layman.
Kwa hiyo sisi hapa tukusaidiaje?Amejichimbia kwenye Handaki kama Saddam Hussein
Jamaa anaonekana ni sturbon Sana kwa USA,afu akili mingi Sana ndani ya fuvu lake!We upo huru lakini unamaisha magumu ona Pres..Putin anaendesha Ops Nchi jirani afu anamwagilia moyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2340258
Kiwango cha juu cha operation ni miaka 25 tu ikizidi hapo inakuwa siyo smo. Kwa mujibu wa mi mwenyeweSasa mbona Russia haya yote hafanyi na bado anaiita operation?! Halafu operation gani inadumu miezi saba?!
Kama majeshi ya Ukraine yanaweka kambi na vifaa vya kijeshi mashuleni, hospitali na kwenye maeneo mengine ya kijamii wakifanya mashambulizi tokea maeneo hayo huku wakiwatumia raia kama kinga yao, ulitegemea majeshi ya Urusi yawapelekee pipi, biskuti na juice cola?Mbona wanashambulia ukumbi za sinema na shule
Operation ni chujachuja na kupiga , vita ni pigapiga bila ya kuchujaPutin anamaanisha nini anavyosema siyo vita nchini Ukraine?