A ashbuton grove Member Joined Aug 27, 2013 Posts 68 Reaction score 4 Sep 5, 2013 #1 Nauza lain hizo nilizinunua muda huu sizihitaji tena ndo maana naziuza nipo dar na zote za dar,anayezihitaji anitafute kwa namba 0689626886
Nauza lain hizo nilizinunua muda huu sizihitaji tena ndo maana naziuza nipo dar na zote za dar,anayezihitaji anitafute kwa namba 0689626886
A ashbuton grove Member Joined Aug 27, 2013 Posts 68 Reaction score 4 Sep 6, 2013 Thread starter #2 uwakala bado upo wa tigo pesa na mpesa(till na second sim)kwa zote mbili bei kianzio ni milion
M mama cha Senior Member Joined Aug 2, 2011 Posts 115 Reaction score 9 Sep 6, 2013 #3 ashbuton grove said: uwakala bado upo wa tigo pesa na mpesa(till na second sim)kwa zote mbili bei kianzio ni milion Click to expand... nipigie 0712769766
ashbuton grove said: uwakala bado upo wa tigo pesa na mpesa(till na second sim)kwa zote mbili bei kianzio ni milion Click to expand... nipigie 0712769766
M mugloka Member Joined Aug 8, 2013 Posts 10 Reaction score 2 Sep 6, 2013 #4 Naombeni mnisaidie kwa hili jamani, hivi ukiwa wakala unapataje faida? Nipeni somo sifahamu na ningependa kujaribu hiyo biashara
Naombeni mnisaidie kwa hili jamani, hivi ukiwa wakala unapataje faida? Nipeni somo sifahamu na ningependa kujaribu hiyo biashara
A ashbuton grove Member Joined Aug 27, 2013 Posts 68 Reaction score 4 Sep 6, 2013 Thread starter #5 mugloka said: Naombeni mnisaidie kwa hili jamani, hivi ukiwa wakala unapataje faida? Nipeni somo sifahamu na ningependa kujaribu hiyo biashara Click to expand... kuweka pesa,kutoa pesa kuna kamisheni unapata kulingana na kiasi cha pesa,ukifanya mihamala mingi ndo unavyopata faida zaidi
mugloka said: Naombeni mnisaidie kwa hili jamani, hivi ukiwa wakala unapataje faida? Nipeni somo sifahamu na ningependa kujaribu hiyo biashara Click to expand... kuweka pesa,kutoa pesa kuna kamisheni unapata kulingana na kiasi cha pesa,ukifanya mihamala mingi ndo unavyopata faida zaidi
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Sep 6, 2013 #6 Kila line ni milioni 1?
A ashbuton grove Member Joined Aug 27, 2013 Posts 68 Reaction score 4 Sep 6, 2013 Thread starter #7 hekimatele said: Kila line ni milioni 1? Click to expand... bei inazungumzika,biashara maelewano