Tigo internet

Mimi huwa natumia bundle ya siku,wanakata sh 450,unatuma neno light day kwenda 15166,ila wanakupa access ya internet for two full days!
 
Mimi huwa natumia bundle ya siku,wanakata sh 450,unatuma neno light day kwenda 15166,ila wanakupa access ya internet for two full days!

mbona nimeomba siku moja na wanakata kila siku Tshs 450?
 
mbona nimeomba siku moja na wanakata kila siku Tshs 450?

yap,kama unasalio wakwangua bila kutaka wewe mwenyewe,na muda wao ni saa 3 asubuhi.achana nao njoo zaitel unakula 400mb kwa full mwezi for 2500
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…