Tiba ya cholesterol

Tiba ya cholesterol

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,717
Reaction score
4,295
Habari wakuu msaada wenu nimepima cholesterol ipo juu kidogo. Nini nifanye kupunguza cholesterol au tiba yake ni nini?
 
Badilisha diet yako.Punguza Kula vitu vyenye mafuta Sana.Ukipata mbegu za uwatu loweka kwenye maji yako ya kunywa ndipo unywe.
 
Habari wakuu msaada wenu nimepima cholesterol ipo juu kidogo. Nini nifanye kupunguza cholesterol au tiba yake ni nini?

Pole sana.

Zingatia mazoezi na upunguze matumizi ya vyakula vyenye wanga kwa wingi.

Ni muhimu ukashauriana daktari zaidi kuhusu viwango hivyo vya cholesterol ili kama kuna uhitaji wa kutumia dawa basi akuandikie.

Kila la kheri.
 
Habari wakuu msaada wenu nimepima cholesterol ipo juu kidogo. Nini nifanye kupunguza cholesterol au tiba yake ni nini?
Punguza au acha kabisa ulaji wa vyakula vyenye cholesterol mf. Vyakula vyote vinavyotokana na wanyama na ndege kama maziwa, nyama, cheese, mayai, nk pia punguza samaki.
#kula vyakula vya asili
# Mafuta ya kupikia mafuta ambayo yanakolestro level ya chini sana ni ufuta, kwenye, nazi, alizeti.
#Funga au punguza kula mlo Moja au miwili usiku waweza kula matunda na salad. Pia punguza kiasi Cha chakula/ ratio. {Unaweza Fanya water fasting}
# Fanya mazoezi utoke jasho anza mazoezi mepesi angalau 15min/day kutengeneza tabia hii anza taratibu then utazoea
# Nithamu ya kufanya haya yote chaguo ni lako
 
Back
Top Bottom