malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,717
- 4,295
Habari wakuu msaada wenu nimepima cholesterol ipo juu kidogo. Nini nifanye kupunguza cholesterol au tiba yake ni nini?
What is cholesterolHabar wakuu msaada wenu nimepima cholesterol ipo juu kidgo ...nin nifanye kupunguza cholesterol au tiba yake ni nin
matakataka mwilini.What is cholesterol
Okmatakataka mwilini.
Habari wakuu msaada wenu nimepima cholesterol ipo juu kidogo. Nini nifanye kupunguza cholesterol au tiba yake ni nini?
Kumbe uliitafuta mwenyewe kwa kula koroshoHabari wakuu msaada wenu nimepima cholesterol ipo juu kidogo. Nini nifanye kupunguza cholesterol au tiba yake ni nini?
Punguza au acha kabisa ulaji wa vyakula vyenye cholesterol mf. Vyakula vyote vinavyotokana na wanyama na ndege kama maziwa, nyama, cheese, mayai, nk pia punguza samaki.Habari wakuu msaada wenu nimepima cholesterol ipo juu kidogo. Nini nifanye kupunguza cholesterol au tiba yake ni nini?