Lazima tulaumiwe. Hivi sasa Ulaya na Marekani janga la ukame na njaa kwenye 'Horn of Africa' inaongelewa sana. Hakuna kiongozi yeyotewa Afrika anayesumbuliwa nalo hili. Na wala hawaoni aibu kwa sababu u-Matonya imekuwa kama hulka yetu.
Lazima tulaumiwe. Hivi sasa Ulaya na Marekani janga la ukame na njaa kwenye 'Horn of Africa' inaongelewa sana. Hakuna kiongozi yeyotewa Afrika anayesumbuliwa nalo hili. Na wala hawaoni aibu kwa sababu u-Matonya imekuwa kama hulka yetu.