Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,798
- 28,461
Eti ujitegemee???Ndio maana Rais anajitahidi ili tusimame kwa miguu yetu wenyewe ili tusiwategee.Kwa bahati mbaya wenzetu wachache wanatuvuta miguu ili tusifanikiwe.Hawa tutakula nao sahani moja.
Wewe ndiye mwenye kujitoa ufahamu unayejifanya huoni kwamba haki za kibinadamu zinakiukwa Tanzania.You know what I am talking about,mbona mnajitoa ufahamu?
Watu wa Tarime wengi mna misimamo sahihi na isiyoyumba,I like you.You are not easily moved by stupid and selfish ends,hongereni sana.Tushitikiane tumtetee kiungozi wetu.Shida Siasa za Africa na wanasiasa wake,pamoja na wanaojiita wanaharakati wapo kwaajili ya "maslahi binafsi" kwetu Tarime tunawaita "opportunists"
Haya ni mawazo ya kitumwa kabisa.Kwani Iran walifikaje hapo walipofika,si hatua.Nimesema kama wao wameweza na sisi tunaweza.Na ni kuhakikishe kwamba even if America imposes sanctions on us today,they can't cripple our economy.Tunajua kwa jinsi washenzi wale walivyo,they can indeed impose sanctions on us,kwa hiyo tumejiandaa.What is the economy of Iran depends on?, what is our Economy depends on?. Almost half of all machines needed in Iran are manufactured locally, while all machines, medicines and all technology we import from outside, we can't survive even for one month, should USA and UK impose sanctions on Tanzania.
Hata kama haki za binafamu zinakiukwa Tanzania lakini hawana moral authority ya kutuambia lolote kuhusu haki za binadamu.Kama wanajua haki za binadamu waanzie kwao.Charity starts at home.Waache double standards.Wewe ndiye mwenye kujitoa ufahamu unayejifanya huoni kwamba haki za kibinadamu zinakiukwa Tanzania.
Hujui uchumi wa dunia unavyokwenda ndio sababu unapiga kelele. Vikwazo vya Marekani maana yake huwezi kutumia mfumo wa biashara wa duniani, yaani Bank zote zinazofanya kazi Tanzania haxiwezi kutama pesa popote pale duniani, hii maana yake ni kwamba hatuwezi kuuza chochote nje ya nchi, wala kununua chochote kutoka nje ya nchi yoyote ile duniani, katika hali hiyo Tanzania tunaweza kuishi hata kwa mwezi mmoja?. Karibu 80% ya bidhaa zote nchini zinatoka nje ya nchi.Haya ni mawazo ya kitumwa.Kwani Iran walifikaje hapo walipofika,si hatua.Nimesema kama wao wameweza na sisi tunaweza.Na ni kuhakikishe kwamba even if America imposes sanctions on us today,they can't cripple our economy.Tunajua kwa jinsi washenzi wale walivyo,they can indeed impose sanctions on us,kwa hiyo tumejiandaa.
After all kwa sasa hatuwategemei kihivyo,we have turned East and we are trying as much as we can to use our own resources in our development endevours.
Hivi nyie ni kina nani ? na mna moral authority ya kuwazungumzia wale ambao wanaona wanateswa katika nchi yao ? Kumbuka hii nchi ya wote... (minority na majority) sasa wewe hata kama ni majority kuwasemea minority, hio authority amekupa nani ?Hata kama haki za binafamu zinakiukwa Tanzania lakini hawana moral authority ya kutuambia lolote kuhusu haki za binadamu.Kama wanajua haki za binadamu waanzie kwao.Charity starts at home.Waache double standards.
Najua mkuu kwamba mifumo ya mnyama(Shetani) iliyotabiriwa kwenye kitabu cha Ufunuo 12:16-18 imeshawekwa na Marekani,na wewe mwenyewe umeiweka wazi!Hujui uchumi wa dunia unavyokwenda ndio sababu unapiga kelele. Vikwazo vya Marekani maana yake huwezi kutumia mfumo wa biashara wa duniani, yaani Bank zote zinazofanya kazi Tanzania haxiwezi kutama pesa popote pale duniani, hii maana yake ni kwamba hatuwezi kuuza chochote nje ya nchi, wala kununua chochote kutoka nje ya nchi yoyote ile duniani, katika hali hiyo Tanzania tunaweza kuishi hata kwa mwezi mmoja?. Karibu 80% ya bidhaa zote nchini zinatoka nje ya nchi.
Kwa sababu tunawazidi nguvu au kwa sababu hawatataka kutufanya kitu. Kauli yako ina pande mbili mkuuHakuna wa kutufanya kitu.
4d4eygr3dttffycyxuygttttfgttxtyyyyxýfgzysgfgxugdtgfyytyxyyyyxyytshtyguxyxytxtgxuygzttýcgftttfdtyzyyxgýygxgxggygtfýyxzgyzyxyyctyyżtyThe US and UK governments have nothing to teach Tanzania regarding human rights.The U.S. government for example, a self-styled "human rights defender," has a human rights record which is flawed and lackluster,and the double standards of human rights it pursues are obvious.
The United States violates human rights in different areas: the severe infringement on citizens' civil rights, the prevalence of money politics, the rising income inequality, worsening racial discrimination, and growing threats against children, women and immigrants, as well as the human rights violations caused by the unilateral America First policies.
Frequent occurrence of violent crime cases, rampant gun crimes and the abuse of power by public officers, have been reported in the United States,while
gun violence continues to be rampant in the country. Data from the Gun Violence Archive showes that the United States reported 57,103 incidents of gun violence in 2018, resulting in 14,717 deaths, 28,172 injuries, including casualties of 3,502 juveniles.
Reports say the United States 2018 midterm elections cost a huge quantity of money as elections in the country became the game of money, with much involvement of "dark money" and corruption.
The United States has the highest rate of income inequality among Western countries and almost half of American households live in financial difficulties.
Noting that systematic racial discrimination had long existed in the United States.It is also reported that racial discrimination in the United States was worsening and drew criticism from the United Nations.
The high incidence of school shootings, widespread school violence and lack of effective government oversight of child abuse,has threatened children in the United States physically and mentally, it is said.
Moreover, the U.S. women faces severe threat in terms of sexual harassment and sexual assault, and lack personal safety and protection. Women in America also face discrimination in employment and in workplace.
The U.S. immigration department is reported to use slanders and violence against immigrants, noting that inhumane immigration policies have forcibly separated migrant children from their parents.
The US has also been criticized on its unilateral policies. It has shirked international responsibilities, carried out the unilateralist America First policy unscrupulously,has withdrown from international organizations,bullied the weak, and caused human rights disasters in several contries in its overseas military operations in Vietnam,Nicaragua,
Iraq,Libya,Syria,
Yemen and several other countries.How for Gods' sake can the US teach Tanzania human rights?Donald Trump,Mike Pence John Bolton and Mike Pompeo,please stay away from tanzanian politics.Settle the mess in your own country before coming to Tanzania.
Mkuu unajichanganya. Unaamini kuna watu wanatakiwa wawe silenced kwasababu wanatofautiana na serikali? Na unatumia kipimo gani kujua Fulani anatumika na mabeberu?Tunajua,and the government is doing its' best under the circumstances.
Unfortunately,wapo vibaraka wengi sana wanaotumia kila mbinu kuiyumbisha serikali na kuwakatimsha tamaa Watanzania katika kujiletea maendeleo yao.Hawa ni lazima wawe silenced.
Anashangaza sana..Kwahiyo maaskofu wote na mapadre walipoandika ule waraka pia ni vibaraka?, watetezi wa haki za binadamu, vyama vya siasa na wanahabari hapa nchini wote ni vibaraka?. Kwahiyo wasiokua vibaraka ninyi tu, ila dunia nzima ni vibaraka wanamchukia Magufuli?
Anashangaza sana..Kwahiyo maaskofu wote na mapadre walipoandika ule waraka pia ni vibaraka?, watetezi wa haki za binadamu, vyama vya siasa na wanahabari hapa nchini wote ni vibaraka?. Kwahiyo wasiokua vibaraka ninyi tu, ila dunia nzima ni vibaraka wanamchukia Magufuli?
Anaongea vitu asivyovielewa..Hujui uchumi wa dunia unavyokwenda ndio sababu unapiga kelele. Vikwazo vya Marekani maana yake huwezi kutumia mfumo wa biashara wa duniani, yaani Bank zote zinazofanya kazi Tanzania haxiwezi kutama pesa popote pale duniani, hii maana yake ni kwamba hatuwezi kuuza chochote nje ya nchi, wala kununua chochote kutoka nje ya nchi yoyote ile duniani, katika hali hiyo Tanzania tunaweza kuishi hata kwa mwezi mmoja?. Karibu 80% ya bidhaa zote nchini zinatoka nje ya nchi.
Kutofautiana katika mawazo is normal and natural.But when you are unneccesarily criticising to serve imperialist intentions for the sole purpose of misleading the public, inciting, instilling unneccesary fear and hate,that cannot be tolerrated by any goverment.Mkuu huhitaji PhD kujua kwamba this is malice and has no good intentions,it's common sense.Mkuu unajichanganya. Unaamini kuna watu wanatakiwa wawe silenced kwasababu wanatofautiana na serikali? Na unatumia kipimo gani kujua Fulani anatumika na mabeberu?
I'm afraid you haven't answered my question yet. I asked about the criteria you employ before deciding that someone is a puppet bent on wreaking havoc rather than a patriot serving in the best interests of the country..Kutofautiana katika mawazo is normal and natural.But when you are unneccesarily criticising to serve imperialist intentions for the sole purpose of misleading the public, inciting, instilling unneccesary fear and hate,that cannot be tolerrated by any goverment.Mkuu huhitaji PhD kujua kwamba this is malice and has no good intentions,it's common sense.