Azam walionekana tangu mwanzo kwamba uwezo wa kuzuia kasi ya mashambulizi na kuamua kukaa vile kuzuia ni hatari kwao.
Yaani wamecheza jinsi Esperance ewanavyotaka wao wacheze,ni ngum saana AZAM kutoboa
Azam kunatatizo,ila bado hawajaliona,maana sio mwanzo kushinda hapa na kupigwa kama watoto ugenini.Wao wakiingia uwanjani akili inakuwa kwenye kulinda tuuu