The Bottom line ya sanaa ya kutongoza

Nakubaliana sana na Miss Juddy kwa theory yake ila nataka kuongezea mawili matatu hv ambayo yapo sana cku hz
1.Siku hizi kuwadi namba moja ni simu na email
2.Wadada wengi wenye upendo wa dhati huvutiwa na wanaume wa mvuto wao kama umbile,urefu,utanashati na caring
3.Wadada wasio na mapenzi ya kweli huangalia mshiko,aina ya maisha ya juu ya mtongozaji zaidi bila hata kujali vigezo vingine vya watongozaji
4.Kwa wanaume wengi utongozaji hutawaliwa na tamaa kwanza na mvuto wa mwanamke..fursa ikipatikana ndo utakuta wanaume wanaanza kufungua pazia la pili kujua mambo mengine kama elimu,tabia,kazi nk
5.Wapo pia wanaume wachache wanaotegemea mvuto wao kuwavutia wanawake mapenzini lakini hawa wengi huishia kuwaumiza wanawake mioyo ama hata kuwachuna...mfano vijana wa Congo na Nigeria
Ni mtazamo tu..hasa ukizingatia maisha ya sasa mapenzi yamekuwa cheap sana na aibu katika kutongozana haipo tena kama enzi zile alizokuwa anasoma Miss Juddy
nakupa big up kwa mada hii..natafakari nitumie mbinu ipi kati ya ulizotaja nikamilishe sanaa hiyo kwa kumpata ndege wangu,na ukizingatia ndege wa siku hizi wote wajanja mno kabla hujarusha jiwe yeye keshajua zamani nia yako!
 
Nakubaliana na wewe Miss Judith 100% Wanawake wanatongoza siku hizi si kama zamani ila sasa wao ni kwa vitendo si kwa maneno kama wanaume hiii imetulia sana
 
 
Hii thread imekaa vizuri sana judith
tunategemea na nyingiene kutoka kwako:a s 112:




 
Sijawahi kutongoza, ngoja nijaribu.
Ahsante miss jud kwa maujanja.


hebu anza na mimi Hus, mi mwenyewe sijawahi tuone itakuwaje

Thanks Miss Judith, Nimekumiss (sijui ndo nimeshatongoza apo?)
 
hebu anza na mimi Hus, mi mwenyewe sijawahi tuone itakuwaje

Thanks Miss Judith, Nimekumiss (sijui ndo nimeshatongoza apo?)

haha, inawezekana umeishaanza kunitongoza tayari! but kumbuka kuwa ni mpaka uwe na intention ya kuingia kule gerezani ulikofungiwa moyo wangu ndo unakuwa unatongoza. kama unasalimia tu au kunijulia hali, it all about that and no more.

mi nipo mkuu japo nimekuwa bize sana siku za karibuni, but i am available. tupe experience yako binafsi juu ya sanaa hiii please, utatusaidia wengi
 

me too miss Judith,

hapo nilikuwa namaanisha kwamba haiingii kwenye kategori ya kutongoza kwa kujali nk...yaani medani zile za kivita za kutongoza? na how do we know kwamba hapa ni salamu za kawaida tu nk,maana kwa upande mmoja, utachukulia ni salamu, upande mweingine unaweza ukawa 'hey.c;mon, this guy is up for something'

hivi hapa online unaweza kumtongoza mtu japo hujamwona...? In the strict sense? ngoja nipate uji narudi (mi bado mdogo)
 
Kwa maana fupi ya ujumla ktk hili mi naona ni kutongoza ni kushawishi ili kufanyiwa lile unalotaka. Hiyo ni ya kiujumla but unaweza kuispecify ktk mapenzi au hata ktk mambo mengine.

kama hiyo ndo maana(hapo kwenye red) then nimetongoza mpaka wasichana wenzangu.......
 
nimeipenda hii article, hasa pale ulipochambua mbinu za kutongoza za wanawake. Mimi napenda pale mwanamke anaponitongoza kwa kunipa ishara mbalimbali. anyway...ninacho-question ni hizo statistics zako tu dada! Hujaweka reference yeyote kutuonyesha zimetoka wapi...
 
Juddy nataka kujifunza practicaly uzoefu wako.......ebu jaribu kunitongoza please.
 
aiseee i was right about you.....

nashukuru sikuwahi kukutongoza......

siku zote niliona you are way smarter than you pretend to be....

sasa nimeona .......

thanx anyway...........

ningekutongoza pengine ungeni tumia as research case lol..........
 
Jamani kutongoza kazi zamani...siyo haya ya sms, chat....

Enzi hizo midume lazima nipagane mshindo ndio anapata demu au kwenda kuwinda simba kufanikiwa kumkill simba we kidume mademu wa kijiji wote wanakutafuta.....

Judith hebu jaribu kufanya analysis ya kwenye cultural/era dimensions.
 
Maxence Melo anasema "sharing is caring", i have shared with you what i have because i care for you all ma brothers and sisters. stay blessed!

Glory to God!
 
Mwanamke anayetongoza mwanaume anatumia nguvu nyingi, hali na mali, ili kuhakikisha huo uhusiano unasimama. Mahusiano machache yaliyoanza hivi hudumu.
 
Maxence Melo anasema "sharing is caring", i have share with you what i have because i care for you all ma brothers and sisters. stay blessed!

Glory to God!

Tunashukuru sana Miss Judith kwa elimu hii, ila sasa nafikiri hata nikimsalimu mkaka atasema namtongoza...lol!!
 
Tunashukuru sana Miss Judith kwa elimu hii, ila sasa nafikiri hata nikimsalimu mkaka atasema namtongoza...lol!!

HAHA, usijali dada Keren, usiache kusalimu kaka zako kwa kuhofia kuonekana unatongoza. kumbuka nimetumia mfano wa gereza lenye linzi mkali. siku zote walinzi hodari wanaojua vizuri kazi yao,hata wakiona mpita njia tu anageuzageuza shingo hma watamsaili wajue anatafuta nini maeneo yale hatari! so ni kawaida na usihofu, ni mvuto wa asili aliotukirimia Mwenyezi Mungu. kumbuka "kila mwanamke anavuta kushinda ulimbo. hakuna hata sumaku inayoweza kuvuta kama afanyavyo mwanamke". ndiyo maana mwanamke akimtazama mwanaume machoni direct mwnaaume hupata "hofu" hata kama ni mkewe aliyemzoea. I always glorify God when men flirt on me. Mungu ni mwema sana na mwingi wa rehema na uaminifu wake wadumu vizazi hata vizazi

Glory to God
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…