N Ngwananzengo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2012 Posts 1,911 Reaction score 1,320 Jan 14, 2015 #21 CIRDRAH said: Kiukweli thamani ya mwanamke ni akili yake na ujuzi wa kupambanua mambo!! Click to expand... Hii huwa naitumia kama kigezo cha msingi kwangu. Hata kama moja haisimami wala mbili haikai kama alivyosema mwanadada mmoja. Najua siku yaja nitafanikiwa.
CIRDRAH said: Kiukweli thamani ya mwanamke ni akili yake na ujuzi wa kupambanua mambo!! Click to expand... Hii huwa naitumia kama kigezo cha msingi kwangu. Hata kama moja haisimami wala mbili haikai kama alivyosema mwanadada mmoja. Najua siku yaja nitafanikiwa.
mutant gene JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 876 Reaction score 326 Jan 15, 2015 #22 nakubaliana na wewe mkuu