TFF yapitisha majina ya wagombea Uongozi Yanga

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,403
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imepitisha majina ya wagombea nyadhifa mbalimbali za uongozi ndani ya klabu ya Yanga.

Nafasi hizo ni zile za Uenyekiti, Umakamu na zile za Wajumbe wa Kamati ya Utendaji.

Zoezi linalosubiriwa hivi sasa ni la mapingamizi pekee kabla ya kuelekea kwenye kampeni na baadaye uchaguzi ambao utafanyika Januari 13 2019.

 
Dalili nikama Yanga wamewasusia
 
inasemekana manji amepata Mkanda ukiwarekodi viongozi wa tff na bmt wakipanga kupokea rushwa kukata jina la manji katika wagombea uenyekiti. Tff ya sasahivi ni watu wamekuja kupooza shida zao sio kuongoza
 
inasemekana manji amepata Mkanda ukiwarekodi viongozi wa tff na bmt wakipanga kupokea rushwa kukata jina la manji katika wagombea uenyekiti. Tff ya sasahivi ni watu wamekuja kupooza shida zao sio kuongoza
Huenda ndio zilikuwa sababu za kelele nyingi za "achukue fomu"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…