Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,189
- 8,217
Kuandika tu mtihanimbona yanga inakiuka kanuni ligi na mko kimya
Na nyie vodacom na gsm mmekosa wekedi mpaka kukubali nembo zenu kuharibiwaView attachment 1569856
Sent from my SM-G530T using JamiiForums mobile app
Mikia bwana!Kuandika tu mtihani
Hiyo kesi ikienda kwa pilato Yanga wanarudisha hela zote za udhaminimbona yanga inakiuka kanuni ligi na mko kimya
Na nyie vodacom na gsm mmekosa wekedi mpaka kukubali nembo zenu kuharibiwaView attachment 1569856
Sent from my SM-G530T using JamiiForums mobile app
Sengerema na Nyegezi.NyambafuUmeyaleta haya malalamiko kama nani? Mwakilishi wa huyo mdhamini, au! Mbona unapata tabu sana!!! Unapungukiwa nini kwa timu ya Wananchi kutotumia hiyo nembo nyekundu?
Kiongozi, wala hawaitaji kuwa mashabiki. Wanaijua nguvu ya Yanga kwenye soko. Wengine ndiyo wanaketa fyongo.wamiliki wa Vodacom hapa Tz ni mashabiki wa Yanga na wao wameridhia tena kiroho safiii kabisa, sasa wewe mkia unawashwa washwa na nini?
Hizo za kukanyagia, yaani ni kama uchafu!Yanga ni washamba sana,walikuwa wanatamani wamvue huyu Calinya raba zake nzuri nyekundu.View attachment 1570319
Ule sio Uzi ni Vijora bhanaUnalazimisha uzi wetu ufanane na madela yenu??
Mdhamini anaihitaji zaidi Yanga, kuliko Yanga anavyomujitaji huyo Vodacom Tanzaniambona yanga inakiuka kanuni ligi na mko kimya
Na nyie vodacom na gsm mmekosa wekedi mpaka kukubali nembo zenu kuharibiwaView attachment 1569856
Sent from my SM-G530T using JamiiForums mobile app
Umepata jibuMdhamini anaihitaji zaidi Yanga, kuliko Yanga anavyomujitaji huyo Vodacom Tanzania
Hizo kelele tu.......acha wajitoe tuUmepata jibuView attachment 1573499
Tangia Simba waanze kuongozwa na Bar Bara wameiga mifumo ya jinsia ingine ikiwemo kufuatilia kila siku maisha ya jirani yake!mbona yanga inakiuka kanuni ligi na mko kimya
Na nyie vodacom na gsm mmekosa wekedi mpaka kukubali nembo zenu kuharibiwaView attachment 1569856
Sent from my SM-G530T using JamiiForums mobile app