waambie nina kadi yangu na ya mke wangu nitapata 200,000?
mkuu unauhakika gani na hayo.. au wewe ndiye mnunuzi... umeambiwa ni tetesi then unakurupuka we utakuwa unafaidika na mfumo wa wizi ulipo sasa wa serikali yako legelege.. lakini umefikiria watotowako na nduguzako wataishi Tanzania ipi miaka 20 ijayo?..polesanaTAARIFA za uzushi!
huyu ndo kafananishwa na tyson!!!???????
Siyo kafananishwa na Tyson, bali ndiye mwenyewe. Hii picha kaipiga juzi akiwa Arumeru.huyu ndo kafananishwa na tyson!!!???????