Habari nilizozipata kutoka Arumeru mashariki ni kuw ccm wameanza kununua kadi za wapiga kura kwa tsh 50000@ . Ambao wapo eneo la tukio watujuvye hapa jamvini
toa ushahidi acha siasa chafu kama huna vielelezo. kipindi hiki ni cha kusema chochote ili mradi kushinda Arumeru
Mwenye kujua anieleweshe,hivi CCM wakinunua shahada za kura wanapata faida ipi katika uchaguzi,I mean inawasaidiaje kushinda? navyojua mimi watu wengi walio katika position ya kuuza shahada ni watu illiterate na ignorants ambao most of them if not all ni mashabiki wakubwa wa CCM na ndio mara zote wanaokipa ushindi,sasa sioni faida wanayoipata kwa kununua shahada ya potential voters.Please wakuu mwenye kujua how this trick works anijuze.
Mwenye kujua anieleweshe,hivi CCM wakinunua shahada za kura wanapata faida ipi katika uchaguzi,I mean inawasaidiaje kushinda? navyojua mimi watu wengi walio katika position ya kuuza shahada ni watu illiterate na ignorants ambao most of them if not all ni mashabiki wakubwa wa CCM na ndio mara zote wanaokipa ushindi,sasa sioni faida wanayoipata kwa kununua shahada ya potential voters.Please wakuu mwenye kujua how this trick works anijuze.