GE2010 Tendwa kuweka historia?

Afukuzwe kazi???
Sawa tu, ila atakumbukwa "milele" katika Historia ya nchi yetu. Natumaini, akifanikisha hili kwa kutenda haki, watakaoingia madarakani watamlipa kadiri alivyotenda haki.
 

Hana guts za kufanya hivyo. CCM ''wamesha msaidia'' majibu - kwamba Kikwete alikuwa anatangaza ILANI ya CHAMA chake. CCM wanasema na Dr. Slaa pia amekiuka maadili ya sheria za uchaguzi kwa ''kuahidi'' kushughulika kero za wafanyakazi, kutoa elimu ya bure etc. Usitegemee maajabu ya aina yoyote kutoka kwa Tendwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…