Kayoka JF-Expert Member Joined Jun 21, 2011 Posts 2,366 Reaction score 2,151 Jun 27, 2013 #2 Kumbe ndio maana nikimwambiaga my lovely one kuwa ana akili za kitoto huwa anachukia sana. Ona sasa huyu mtoto anavyodanganywa.
Kumbe ndio maana nikimwambiaga my lovely one kuwa ana akili za kitoto huwa anachukia sana. Ona sasa huyu mtoto anavyodanganywa.
M Mkeshaji JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 4,258 Reaction score 1,418 Jun 27, 2013 #4 Huyo dogo naye atakuwa ni wa zama zile. Madogo wa sasa hivi akibebwa namna hiyo lazima amshike mama yake kwenye nyonyo. Na hawezi akabebwa na kutulia namna hiyo wakati anaona yuko horizontal na hakuna movement.
Huyo dogo naye atakuwa ni wa zama zile. Madogo wa sasa hivi akibebwa namna hiyo lazima amshike mama yake kwenye nyonyo. Na hawezi akabebwa na kutulia namna hiyo wakati anaona yuko horizontal na hakuna movement.
Totos Boss JF-Expert Member Joined Dec 30, 2012 Posts 5,456 Reaction score 1,569 Jun 28, 2013 #5 Sure, I will practice this at home
Mwendabure JF-Expert Member Joined Mar 10, 2011 Posts 2,138 Reaction score 1,045 Jun 29, 2013 #6 Bonge la ubunifu!
mathcom JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,396 Reaction score 519 Jun 29, 2013 #7 englibertm said: Click to expand... Ni ubunifu wa hali ya juu, ingawa psychologically, hautakiwi kwa makuzi ya mtoto...!!!
englibertm said: Click to expand... Ni ubunifu wa hali ya juu, ingawa psychologically, hautakiwi kwa makuzi ya mtoto...!!!