Isma le ibuh
Member
- Oct 4, 2017
- 36
- 12
Habar wana jf
Nauza tecno k9 bei 200k ina hali nzuri ina miez 6 toka inunuliwe haina scratch yoyote ila inatatizo upande wa camera ya nyuma inasumbua ila video calls inafanction na vitu vingine camera ya mbele iko poa ila ukiipeleka tecno wanakutengenezea bure kabisa sema itakaa siku 3 ndio maana mie nilishindwa kuitengeneza kwani sikua na sim ya kutumia
Rom 16GB
Ram 2GB
Nipo dar es salaam
Cont:0767959073 au 0620134042 asanten
Nauza tecno k9 bei 200k ina hali nzuri ina miez 6 toka inunuliwe haina scratch yoyote ila inatatizo upande wa camera ya nyuma inasumbua ila video calls inafanction na vitu vingine camera ya mbele iko poa ila ukiipeleka tecno wanakutengenezea bure kabisa sema itakaa siku 3 ndio maana mie nilishindwa kuitengeneza kwani sikua na sim ya kutumia
Rom 16GB
Ram 2GB
Nipo dar es salaam
Cont:0767959073 au 0620134042 asanten