Phone4Sale Tecno Spark 7 inauzwa Mtwara

Phone4Sale Tecno Spark 7 inauzwa Mtwara

Kaiche

Senior Member
Joined
Jan 23, 2017
Posts
152
Reaction score
316
Habar Wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyosema Tecno spack 7 inauzwa
Ina mwezi mmoja
Haina tatizo lolote
RAM 64 GB
ROM 4 GB
BEI 250000


LOCATION MTWARA


tecno-spark-7.jpg
 
Kariakoo unapata kwa bei ya chini zaidi ya uliyoweka hapa.
Ila kwakuwa uko mkoani Mtwara sawa
Acha kudanganya umma,,,,Kariakoo spack 7 upate chini ya 250000,,,,,kuwa mkoani si kwamba kila kitu tunanunua huku,,,,Weka bei ya kariakoo hapa hyo brand new
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom