W wamjun Member Joined Feb 21, 2012 Posts 53 Reaction score 13 Nov 29, 2014 #1 Nauza tecno phantom z @ 520,000 contact: 0766-273913 Attachments 20141106_195838.jpg 263.2 KB · Views: 136 20141106_195921.jpg 487 KB · Views: 120 20141106_200033.jpg 420.8 KB · Views: 123
T twijuke JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 547 Reaction score 252 Nov 29, 2014 #2 Tecno ni simu nzuri na imesifika sana hapa kwetu Tanzania. Chakushangaza ni kwamba kwenye 50 bora ya makampuni yanayotengeneza simu duniani, Tecno haimo. Lakini hata kwenye kampuni 20 bora china haimo. Lakini ni simu bomba.
Tecno ni simu nzuri na imesifika sana hapa kwetu Tanzania. Chakushangaza ni kwamba kwenye 50 bora ya makampuni yanayotengeneza simu duniani, Tecno haimo. Lakini hata kwenye kampuni 20 bora china haimo. Lakini ni simu bomba.