Used In a good condition
Camera back 8 mp
Rear 2 mp
Ram 1 GB
Internal memory 8 GB
Android 4.4 kit kat
Price Tsh 155 000 (haipungui)
Contacts 0712411879,0757507312
Nipe 160,000/ nkuletee iliyopo kwenye box
Nipo Arusha napata vp huo mzigo mpya Kabisa kama 3 nipe na specification zake[/QUOTE
Upo arusha sehemu gan? Fika stand basi za kwenda mikoan utapata Techno H6 ata 155,000
Nipo Arusha napata vp huo mzigo mpya Kabisa kama 3 nipe na specification zake[/QUOTE
Upo arusha sehemu gan? Fika stand basi za kwenda mikoan utapata Techno H6 ata 155,000
Kwa sasa nimetoka kidogo ila by weekend nitakuwa town
Acheni kudanganyana ... Agent wa Tanzania mwenyewe hauzi 155,000 ... Sisi tunauza simu kwa jumla na bei zote nazijua ... Sisi tunanunua simu kwa carton kwa agent wa Tanzania ... Maasai King unapotosha watu