TCU yakanusha Uvumi

namtumbo

Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
78
Reaction score
102
Tume ya Vyuo Vikuu nchini imetoa Taarifa kwa Umma kukanusha uvumi ulioenezwa kwa njia ya mtandao juzi na jana kwamba Tume hiyo imezuia Vyuo 22 kufanya Udaili wa Wanafunzi katika mwaka wa masomo 2016/2017. Kwa habari zaidi angalia hapo chini:
 
Hii Tume ya Vyuo Vikuu sasa imekuwa ni kama sehemu ya kufanyia siasa. Kila siku wana-make headlines kweye magazeti.
 
Mbona naona kama alieandaa lile tangazo ndio anatakiwa kuwa Mtendaji wa TCU!!
 
unaongea nni wwe?
Suala kama hilo ati hatufanyi kazi jmosi?

Jipime aiseeh...
Niletee measuring tape, unadhani mtu tu anaamua kuita press na kukanusha without office kujua? Unadhani mambo yanafanywa kiholela tu?
 
Kwa maana hiyo kazi ya kupotosha ni kazi ya mtendaji mkuu ? Mbona hueleweki mkuu
Mkuu namanisha tangazo liliandaliwa kiufundi na likasadifu maudhui yote ya TCU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…