TCRA yatoa takwi za idadi ya wateja kwa kila kampuni ya mawasiliano Tz!

wangetoa takwimu za wateja ambao wako active na sio line zilizo sajiliwa maana kama voda m sure nusu yake wanatumia kwaajili ya mpesa tu na sio kwa voice

nina line ya voda tangu ninunue natumia kwa ajili ya mpesa na nmb mobile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…