dedam JF-Expert Member Jan 5, 2011 845 165 Oct 9, 2011 #41 aye said: wangetoa takwimu za wateja ambao wako active na sio line zilizo sajiliwa maana kama voda m sure nusu yake wanatumia kwaajili ya mpesa tu na sio kwa voice Click to expand... nina line ya voda tangu ninunue natumia kwa ajili ya mpesa na nmb mobile
aye said: wangetoa takwimu za wateja ambao wako active na sio line zilizo sajiliwa maana kama voda m sure nusu yake wanatumia kwaajili ya mpesa tu na sio kwa voice Click to expand... nina line ya voda tangu ninunue natumia kwa ajili ya mpesa na nmb mobile
M Milindi JF-Expert Member Mar 3, 2009 1,462 745 Oct 9, 2011 #42 Ndibalema said: TTCL laki2? Kampuni ya kwanza kwenye game ya simu!! Ni aibu sana. Click to expand... Never ever compire Mobile and landline; Hata hivyo wenye hisa kwenye mobile company ndio haohao wenye TTCL thats why hawataki ikue.
Ndibalema said: TTCL laki2? Kampuni ya kwanza kwenye game ya simu!! Ni aibu sana. Click to expand... Never ever compire Mobile and landline; Hata hivyo wenye hisa kwenye mobile company ndio haohao wenye TTCL thats why hawataki ikue.
Mphamvu JF-Expert Member Jan 28, 2011 10,702 3,288 Oct 9, 2011 #43 Msarendo said: Benson nayo ya wapi? Click to expand... ni benson online, au bol, wana hedkota zao pale a.h mwinyi road opoziti na ubalozi wa ufaransa, nadhani namba zao huanza na 079.
Msarendo said: Benson nayo ya wapi? Click to expand... ni benson online, au bol, wana hedkota zao pale a.h mwinyi road opoziti na ubalozi wa ufaransa, nadhani namba zao huanza na 079.