Bora hiyo yako kuna siku utashinda tu.!
Vodacom wanatabia mbaya...
nikiongeza Salio kwa voda na ikatokea sijalitumia kwa kununua kifurushi,watatuma meseji kibao hadi Salio lote liishe...
Mbaya zaidi hayo 'mameseji' nilishayakataa hadi nikayaripoti vodashop
Yaani wamegeuka wakora kabisa.. tena meseji moja wanatuma zaidi ya mara3...ili tu wakombe salio