Mitomingi8s
Senior Member
- Jan 17, 2011
- 132
- 39
kwani TBS maombi yao yalikuwa yanajitegemea? kama walipitia utumishi wa umma tayari wamekwisha ita, utumishi wa umma wameita nafasi walizotoa tangia mwezi wa kwanza.
kwani TBS maombi yao yalikuwa yanajitegemea? kama walipitia utumishi wa umma tayari wamekwisha ita, utumishi wa umma wameita nafasi walizotoa tangia mwezi wa kwanza.
Hizi post hazikupitia kwa manyang'au utumishi
Mkuu naona utumishi huwapendi kweli. Vp wamekundenda lipi baya?