Hello wana jamii mwenye update za kuitwa kwa interview kwa posts zilizotangazwa april 2014 atujuze hapa maana kimya kingi au walishaita? na kulikuwa na posts nyingi tu
Tupige maomba mola atajaalia,dawa kuwa na subira na hakuna kukata tamaa,kuna dada mmoja india ametafuta kazi miaka 15 hajapata na bado ana iman kuwa kuna alfajiri atabeba pochi kwenda ofisini
kwani TBS maombi yao yalikuwa yanajitegemea? kama walipitia utumishi wa umma tayari wamekwisha ita, utumishi wa umma wameita nafasi walizotoa tangia mwezi wa kwanza.
kwani TBS maombi yao yalikuwa yanajitegemea? kama walipitia utumishi wa umma tayari wamekwisha ita, utumishi wa umma wameita nafasi walizotoa tangia mwezi wa kwanza.
kwani TBS maombi yao yalikuwa yanajitegemea? kama walipitia utumishi wa umma tayari wamekwisha ita, utumishi wa umma wameita nafasi walizotoa tangia mwezi wa kwanza.
Mkuu Utumishi ni wajinga sana, wanatumalizia muda wetu tu kwa kushortlist watu 300 kwa post moja.Haiwezekani eti watu wote 300 wawe na vigezo sawa kama si kupotezeana muda ni nini wewe unafikiria