TBS Call for interview update

Mitomingi8s

Senior Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
132
Reaction score
39
Hello wana jamii mwenye update za kuitwa kwa interview kwa posts zilizotangazwa april 2014 atujuze hapa maana kimya kingi au walishaita? na kulikuwa na posts nyingi tu
 
Hata mimi nashangaa kimya kingi mpaka nilishaanza kusahau
 
Leo nimeingia website yap hakuna tangazo lolote mkuu naona bado wanafanya upembuzi yakinifu!!!
 
Tupige maomba mola atajaalia,dawa kuwa na subira na hakuna kukata tamaa,kuna dada mmoja india ametafuta kazi miaka 15 hajapata na bado ana iman kuwa kuna alfajiri atabeba pochi kwenda ofisini
 
kwani TBS maombi yao yalikuwa yanajitegemea? kama walipitia utumishi wa umma tayari wamekwisha ita, utumishi wa umma wameita nafasi walizotoa tangia mwezi wa kwanza.
 
kwani TBS maombi yao yalikuwa yanajitegemea? kama walipitia utumishi wa umma tayari wamekwisha ita, utumishi wa umma wameita nafasi walizotoa tangia mwezi wa kwanza.

Hizi post zilikuwa zinajitegemea hazikupitia utumishi na huko utumishi walioitwa kwa interview si post hizi ni nyingine kabisa
 
kwani TBS maombi yao yalikuwa yanajitegemea? kama walipitia utumishi wa umma tayari wamekwisha ita, utumishi wa umma wameita nafasi walizotoa tangia mwezi wa kwanza.

Hizi post hazikupitia kwa manyang'au utumishi
 
Kimya kingi, lakini ianwezekana kuwa waliopita awamu ya kwanza ndio wameitwa na kati yetu hakuna hata mmoja. Tuombe isiwe hivyo lakini...
 
Mkuu naona utumishi huwapendi kweli. Vp wamekundenda lipi baya?

Mkuu Utumishi ni wajinga sana, wanatumalizia muda wetu tu kwa kushortlist watu 300 kwa post moja.Haiwezekani eti watu wote 300 wawe na vigezo sawa kama si kupotezeana muda ni nini wewe unafikiria
 
Tuvute subira tu.tuone mwishowao. ila tusiache kumwomba Mungu atutete sie tusiokua na kamlete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…