Dan Pol hahahahahaa
Huo walioko kwenye hiyo show sio wa TZ?
Maney talk, wamepewa pesa show hairushwi bure
Kipind mjukuu wa malkia anao vyombo vyote vya habar vilielekezwa kwenye ile familia, yalikua yanatuhusu? Mbona hukuuliza?
Ni kitu gan unataka wakurushie? Yan tokea January mpk leo hujaridhika? Lala
chombo hiki cha umma kinaonyesha live miziki ya fiesta badala ya kuonyesha mambo mbalimbli ya kitaifa...imekuwa ni kawaida kwa chombo hiki cha umma kuonyesha mambo ya hovyo huku kikiyapa kisogo mambo muhimu ya kitaifa..kweli chombo hiki ni janga la taifa.
chombo hiki cha umma kinaonyesha live miziki ya fiesta badala ya kuonyesha mambo mbalimbli ya kitaifa...imekuwa ni kawaida kwa chombo hiki cha umma kuonyesha mambo ya hovyo huku kikiyapa kisogo mambo muhimu ya kitaifa..kweli chombo hiki ni janga la taifa.
tbc basi tena, au ndiyo mipango ya kura ya ndio ya katiba pendekezwa, kupitia wasanii na sanaa hahahahahaha
bora muziki kuliko wangeweka habari za Nape na Ivory Kinana
Wee ndo janga la Taifa. Kwani TBC hawawekagi miziki katika vipindi vyao vya kawaida. Kazi kuponda tuuu. Kajenge Taifa sasa hivi na wewe uko bize kutafuta kasoro tu.
Majibu yako yanaonyesha hujielewi wala hujitambui...hii ndo shida ya kujibizana na vidada poa kama wewe.
Nimekuuliza TBC huwa hawarushi vipindi vya burudani??? ........! Badala ya kujibu, unaanza kujihami. Sasa Unashangaa nini kuona wanarusha Serengeti Fiesta 2014 tena jumamosi usiku saa tano?? Na ni kipindi gani cha kitaifa ambacho huonyeshwa tbc1 kuanzia saa nne usiku ambacho umekimiss?? Yaonyesha unatafuta tu cha kuposti maana TBC hauijui. Huwa wanarusha vipindi vya burudani ikiwemo miziki. Nafikiri mimi ndo nisijibishane na wewe usiye jua ulichopost. Tatizo kila kitu unaleta siasa na uchama. Ebu burudika kidogo, let ur balls loose angalau kwa masaa kadhaa, punguza kubana.
chombo hiki cha umma kinaonyesha live miziki ya fiesta badala ya kuonyesha mambo mbalimbli ya kitaifa...imekuwa ni kawaida kwa chombo hiki cha umma kuonyesha mambo ya hovyo huku kikiyapa kisogo mambo muhimu ya kitaifa..kweli chombo hiki ni janga la taifa.