Sisi kwetu hapa tz tunavyo Kama 4hivi Sasa we unashangaa hicho tu🙄🙄🙄Baada ya JKIA Terminal 1A kupanuliwa na kujengwa na technolojia ya kisasa, sasa wameamua kuvunja 1C na 1D na kuzijenga upya
Terminal 1A ilishapanuliwa na kufanyiwa hivi
Sasa huko kwa 1B na 1C ndo kulikua bado airport ya zamani
View attachment 1827646
Baada ya upanuzi hapo kati kati ambapo sahii hua ni parking bay (p3 and p4) pataondolewa kwasababu ya upanuzi wa 1B and 1C zitakua kubwa zaidi
(this pic is curtesy of "JARIBU" from SCC ) All that area will become T1B and T1C
Ikimalizika itakua kama hivi
Na tukumalizia hivi ndo ndani itakaa by end of 2022!
0
Wanatumia totaly new concept that is centered on enhancing customer experience, yani airport wont be just about immigration and VISA/passport stamping, it will be all about giving the customer the best feeling and experience while passing through.
Mshamba si wewe uliekuja na uzi wa terminal moja tu 🤸🤸🤸Terminal moja si airport nzima wewe acha ushamba
Nice one. Nakumbuka in 2019 coming back using Qatar airways. The terminal that I used was quite old. I am glad to see it getting upgraded and capacity being expanded.Baada ya JKIA Terminal 1A kupanuliwa na kujengwa na technolojia ya kisasa, sasa wameamua kuvunja 1C na 1D na kuzijenga upya
Terminal 1A ilishapanuliwa na kufanyiwa hivi
Sasa huko kwa 1B na 1C ndo kulikua bado airport ya zamani
View attachment 1827646
Baada ya upanuzi hapo kati kati ambapo sahii hua ni parking bay (p3 and p4) pataondolewa kwasababu ya upanuzi wa 1B and 1C zitakua kubwa zaidi (this pic is curtesy of "JARIBU" from SCC ) All that area will become T1B and T1C
Ikimalizika itakua kama hivi
Na tukumalizia hivi ndo ndani itakaa by end of 2022!
Wanatumia totaly new concept that is centered on enhancing customer experience, yani airport wont be just about immigration and VISA/passport stamping, it will be all about giving the customer the best feeling and experience while passing through.
Huko kwenu ndo mlijenga terminal moja mpya ndo unakuja kutuambia eti kwenu mnavyo kama hivyo kana kwamba jnia nzima iko hivyo!
Mimi nilitaka kudhani kuwa labda hapa ni HeathrowBaada ya JKIA Terminal 1A kupanuliwa na kujengwa na technolojia ya kisasa, sasa wameamua kuvunja 1C na 1D na kuzijenga upya
Terminal 1A ilishapanuliwa na kufanyiwa hivi
Sasa huko kwa 1B na 1C ndo kulikua bado airport ya zamani
View attachment 1827646
Baada ya upanuzi hapo kati kati ambapo sahii hua ni parking bay (p3 and p4) pataondolewa kwasababu ya upanuzi wa 1B and 1C zitakua kubwa zaidi (this pic is curtesy of "JARIBU" from SCC ) All that area will become T1B and T1C
Ikimalizika itakua kama hivi
Na tukumalizia hivi ndo ndani itakaa by end of 2022!
Wanatumia totaly new concept that is centered on enhancing customer experience, yani airport wont be just about immigration and VISA/passport stamping, it will be all about giving the customer the best feeling and experience while passing through.