Wakati wa uchaguzi nilibeza uamuzi wa tambo za wanaharakati kuandamana kuhusu wanavyuo kuondolewa vyuoni wakati wa uchaguzi.
Nilisema haikuwa ktk wanavyuo wenyewe. Wanavyuo wengi wawapo vyuoni ni mazezeta, hawana interest na fikra tunduizi zaidi ya disco na kuangalia mechi za mipira ya nje.
Tazama, wengi hawajali maslahi ya jamii ila wakiwa vijijini ndo wanavaa ngozi za kondoo ili waonekane wasomi. Kama kweli wana uchungu, wamesharudi sasa waitishe maandamano hata Dar pekee kulaani kitendo kile, hawawezi, akili hizo hawana. Kwa sasa ni bash na wiki chache tu test basi.
Nani anajua kuwa inawezekana vijana nane wa chuo kikuu wanaweza kukusanyika kuangalia pornography ktk chumba? Juzi wanashangilia kauli ya Pinda eti ataboresha mikopo. Wamesahau ahadi ya JK?
Ni kweli kabisa wanachuo wa siku hizi wengi hawajui nini kinaendelea katika nchi yao, ila ukiwauliza habari za Arsenal, Manchester, liverpool utapewa maelezo hadi utashiba, Hamna kitu jamani, mambo ya ndani ya nchi yao wanaona hayawahusu.
Ole wake Taifa lisilo na ufahamu: taifa lisilo na ufahamu litaangamia....wake up young generation, don't let yourselves down and the generation after you. Football and porno will not put food on your mouths....study hard,
Ni kweli kabisa wanachuo wa siku hizi wengi hawajui nini kinaendelea katika nchi yao, ila ukiwauliza habari za Arsenal, Manchester, liverpool utapewa maelezo hadi utashiba, Hamna kitu jamani, mambo ya ndani ya nchi yao wanaona hayawahusu.