Tatizo sijui ni nn??

Tatizo cjui ni nn kwa huyu binti,kipindi tunafanya mapenzi yy huwa anafanya shughuli zake 2 mfano,unaweza kuta anarusha nyimbo,anasoma sms,n.k.sasa sijui hana hisia za mapenz au haridhiki na mm??
Atakuwa mwenyeji wa mkoa huu: Uru kishimundu au Sambi sako mwenyewe
 
kuna wachangiaji wamesema hapo hufanyi naye mapenzi bali unamwingilia kimwili. Je, umewaelewa? Hoja yao ni kwamba, je mnakubliana kusex au unamforce? Je unamuandaa kabla ya kuingiza? Mwisho umewahi kumuuliza kuwa kwa nini anapenda kuua ndege 2 kwa jiwe moja hata pasipostahili?
 
Jaribu na tigo uone kama ataendelea na shughuli zake
 

mimi mzoefu na ni m2 mzima mkuu sema cjui tatzo
 

mtundu sana,halafu uwa 2na elewana sema baadae anaanza kurusha nymbo
 
Tatizo cjui ni nn kwa
huyu binti,kipindi tunafanya mapenzi yy huwa anafanya shughuli zake 2
mfano,unaweza kuta anarusha nyimbo,anasoma sms,n.k.sasa sijui hana hisia
za mapenz au haridhiki na mm??

mh! hapo hamna kitu!
 
Duuuuuu hii kama si utani, hii ilitokea mara ya mwisho mwaka 1972 huko ethiopia!
 
Anakutumia ujumbe kwamba hana hisia kwako na performance yako ni zero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…