Habari za majukumu wanaJf Dokta
Mim nipo kwa ndoa kwa miaka 2 lakni sijampa mke wangu mimba Ila nilpoenda hospital ya rufaa nikapma mbegu majbu yalitoka hivi aslimia53 zinajongea hovyohovyo na 7% ndo zinajongea vizur na 40% ziko non-motile .nn nifanye wadau