M majiyachupa Member Joined Jul 5, 2011 Posts 57 Reaction score 11 Apr 13, 2017 #1 Habari. Hivi tanesco hawamo.humu? Wakatueleza kero ya kukatwa umeme kijichi??? Jamani saa mbili hadi saa saba au nane usiku???? Au kuna mgao????? Maeneo gani hawakatikati nihamie maana inakera?????
Habari. Hivi tanesco hawamo.humu? Wakatueleza kero ya kukatwa umeme kijichi??? Jamani saa mbili hadi saa saba au nane usiku???? Au kuna mgao????? Maeneo gani hawakatikati nihamie maana inakera?????
sawe6 JF-Expert Member Joined Jul 31, 2014 Posts 558 Reaction score 367 Apr 13, 2017 #2 Aiseee huku miande ni hatari. Mpaka ninahisi tupo nje ya eneo la Tanesco
M majiyachupa Member Joined Jul 5, 2011 Posts 57 Reaction score 11 Apr 13, 2017 Thread starter #3 sawe6 said: Aiseee huku miande ni hatari. Mpaka ninahisi tupo nje ya eneo la Tanesco Click to expand... Yaani wanatunyanyasa kwa kweli Imekuwa ni ratiba sasa kukata umeme na kuurudisha usiku wa manane Hapa tunalipia wangekuwa wanatupa umeme bure si tungejuta sisi
sawe6 said: Aiseee huku miande ni hatari. Mpaka ninahisi tupo nje ya eneo la Tanesco Click to expand... Yaani wanatunyanyasa kwa kweli Imekuwa ni ratiba sasa kukata umeme na kuurudisha usiku wa manane Hapa tunalipia wangekuwa wanatupa umeme bure si tungejuta sisi
M majiyachupa Member Joined Jul 5, 2011 Posts 57 Reaction score 11 Apr 13, 2017 Thread starter #4 sawe6 said: Aiseee huku miande ni hatari. Mpaka ninahisi tupo nje ya eneo la Tanesco Click to expand... Yaani wanatunyanyasa kwa kweli Imekuwa ni ratiba sasa kukata umeme na kuurudisha usiku wa manane Hapa tunalipia wangekuwa wanatupa umeme bure si tungejuta sisi
sawe6 said: Aiseee huku miande ni hatari. Mpaka ninahisi tupo nje ya eneo la Tanesco Click to expand... Yaani wanatunyanyasa kwa kweli Imekuwa ni ratiba sasa kukata umeme na kuurudisha usiku wa manane Hapa tunalipia wangekuwa wanatupa umeme bure si tungejuta sisi
mikumiyetu JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 1,312 Reaction score 947 Apr 13, 2017 #5 Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu
Nyendeke JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 1,552 Reaction score 2,852 Apr 13, 2017 #6 mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Mkuu ndo kila siku muda kama huo mnarudisha hizo feeder? Kama ww ni mmoja wa Mafundi wa Tanesco basi Mbagala kuweni wapole tu!!!
mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Mkuu ndo kila siku muda kama huo mnarudisha hizo feeder? Kama ww ni mmoja wa Mafundi wa Tanesco basi Mbagala kuweni wapole tu!!!
Nyendeke JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 1,552 Reaction score 2,852 Apr 13, 2017 #7 mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Mkuu ndo kila siku muda kama huo mnarudisha hizo feeder? Kama ww ni mmoja wa Mafundi wa Tanesco basi Mbagala kuweni wapole tu!!!
mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Mkuu ndo kila siku muda kama huo mnarudisha hizo feeder? Kama ww ni mmoja wa Mafundi wa Tanesco basi Mbagala kuweni wapole tu!!!
Nyendeke JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 1,552 Reaction score 2,852 Apr 13, 2017 #8 mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Mkuu ndo kila siku muda kama huo mnarudisha hizo feeder? Kama ww ni mmoja wa Mafundi wa Tanesco basi Mbagala kuweni wapole tu!!!
mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Mkuu ndo kila siku muda kama huo mnarudisha hizo feeder? Kama ww ni mmoja wa Mafundi wa Tanesco basi Mbagala kuweni wapole tu!!!
sawe6 JF-Expert Member Joined Jul 31, 2014 Posts 558 Reaction score 367 Apr 13, 2017 #9 mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Kinacho fanya feder ikatoka kila siku ni nn?
mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Kinacho fanya feder ikatoka kila siku ni nn?
M majiyachupa Member Joined Jul 5, 2011 Posts 57 Reaction score 11 Apr 14, 2017 Thread starter #10 mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Hizi feeder ni kila siku???? Tena mida ile ile saa mbili hadi saa nane au saba???? Na mmekata saa tatu hii nayo ni feeder? Zamani mlikuwa na wimbo wa low voltage baada ya kuchuja mmekuja na feeder Haya bana......
mikumiyetu said: Tunarudisha feeder aitaki kukaha,mafundi wetu wako wanapatrol line kuwa mvumilivu Click to expand... Hizi feeder ni kila siku???? Tena mida ile ile saa mbili hadi saa nane au saba???? Na mmekata saa tatu hii nayo ni feeder? Zamani mlikuwa na wimbo wa low voltage baada ya kuchuja mmekuja na feeder Haya bana......
Kisu Cha Ngariba JF-Expert Member Joined Jun 21, 2016 Posts 22,133 Reaction score 48,851 Apr 14, 2017 #11 Uku Mbezi beach umeme kukatika ni anasa.