Tatizo la mahusiano

Kabayser

Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
78
Reaction score
18
Heshima zenu wadau naombeni ushauri wenu kuna mpenzi wangu na mpenda sana lakini kila nikitaka kuonana naye anaanza maneno na mipango ambayo haina maana sana na mahusiano yangu na yeye papo hapo kuna vipancha vya kufa mtu kuombana hela bila mipangilio maalumu!!!!! Je nifanye nini wadau?????
 
he he heee pole saana
endelea kuchunwa tu
 
kwakweli mchunguze huyo dada vizuri anaweza akawa anakuda nganya,hana mapenzi na wewe:lalala:
 
Mizingaa aaa hoyeeeeee!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Yamekukuta eeeh!!! Pole ndio dunia hiyo!!
 

Usimpe hela.
 
::
Tafuta jibu la swali hili ukiwa katika utulivu
Je,bila yeye maisha yako yatakosa mafanikio?
::
Kama "ndiyo" Endelea kumgharamia,kama "siyo" Songambele utapata mwingine.Kama "sijui" Weka mapenzi pembeni usife kabla ya umri wako.Subiri ukifikia ukomavu wa akili.
=
 
Ukisikia ''kabaaaaaang''............unaulizia sukari duka la vifaa vya ujenzi
 
Pole xana Mr. bt usiogope bal we mtafute by any means hata kwa cmu uongee nae ujue shida ni nni.
 
ukiona hivo amewapanga a.k.a mafiga matatu kuna wa kumpa hela ambaye ndo wewe, kuna wakumpa mapenzi na kuna yule ampendaye hata kama ana kasoro gani!
 
Simple; Hakuna mapenzi hapo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Sasa hapo ndoo napata mwanga wakutosha kuwa ni kwanini ananizingua asante sana ndugu joyness.
ukiona hivo amewapanga a.k.a mafiga matatu kuna wa kumpa hela ambaye ndo wewe, kuna wakumpa mapenzi na kuna yule ampendaye hata kama ana kasoro gani!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa!! najua si kila achekaee kuwa ana furaha moyoni mpaka sasa nilipo fikiaa najipanga kujitoa kwenye listi ya watu wanao chunwa The Boss.
he he heee pole saana
endelea kuchunwa tu
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nimeona wangu ila bado na mpenda sana lakini sina budi kumtemaaa asante sana wangu kwa ushauri wako cute beiby.
Simple; Hakuna mapenzi hapo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…