Tatizo la kutoa maziwa kwa binti ambaye hajazaa

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Jan 3, 2013
2,208
1,526
Heshima kwenu wakuu.

Naomba kujua nini kinasababisha binti ambaye hajazaa anatokwa na maziwa kwenye chuchu?

Tiba yake ni nini?
 
Niliyokuwa in my late teens, kuna kipindi nilikuwa natoa maziwa. Hata sikwenda hospitali. yaliachaga yenyewe.

nilimuomba mkalimani wa madaktari wachina pale SINO aniulizie, akaniambia daktari alimwambia inawezekana nilikuwa nikifikiria sana kunyonyesha. au nilikuwa nachezea mno maziwa (yani nina boyfriend?). au nina hormonal imbalance.

na mimi nikatafuta information online. sababu inaweza kuwa pituitary gland yake imevimba.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…